Monday, 6 July 2020

JoenwaOgbu

BADO IPO, HAIJAPOTEA na Joseph C. Ogbu (JoenwaOgbu)

Naomba toa mkono kidevuni
Na ufute machozi mashavuni,
Nini haki yako unawaza imepotea
Muamini Mungu tu atakurudishia,
Maisha haya ndo kawaida yake
Ni kama fumbo maanayake,
Acha kufadhaika, ni muda wa kutabasamu
Furahi! Mungu hatakuacha kwenye jamu,
Basi simama, Mama anakuita! Toka kwenye mahangaiko yako
Na ujue daima, Mama na Mwanaye hawataacha kuwa Wasaidizi wako.

SMILE ON THE FACE; BUT...? by Fr. Joseph C. Ogbu

Imagine! Calmly water turning thicker than blood, Evils gently overflowing like flood. God! be merciful on your precious world, And allow n...