Wednesday, 8 July 2020
Monday, 6 July 2020
BADO IPO, HAIJAPOTEA na Joseph C. Ogbu (JoenwaOgbu)
Naomba
toa mkono kidevuni
Na
ufute machozi mashavuni,
Nini
haki yako unawaza imepotea
Muamini
Mungu tu atakurudishia,
Maisha
haya ndo kawaida yake
Ni
kama fumbo maanayake,
Acha
kufadhaika, ni muda wa kutabasamu
Furahi!
Mungu hatakuacha kwenye jamu,
Basi
simama, Mama anakuita! Toka kwenye mahangaiko yako
Na
ujue daima, Mama na Mwanaye hawataacha kuwa Wasaidizi wako.
Subscribe to:
Posts (Atom)
SMILE ON THE FACE; BUT...? by Fr. Joseph C. Ogbu
Imagine! Calmly water turning thicker than blood, Evils gently overflowing like flood. God! be merciful on your precious world, And allow n...
