Shika ya msingi yasipotee,
Imani lazima tutetee,
Acha hofu sasa tutembee;
Twjua watakatifu wapo watuombee,
Na baraka wanaleta sasa tusogee,
Ila mikono lazima isafishwe tupokee,
Tuweze kuishi kwa Mungu, na neema
tuogelee
Na mwisho utakatifu, sote tufikie.
Maisha sasa tukae na kufikiria,
Ili tuweze kutimiza kazi
zinazotusubiria,
Bila kulalamika na pia kulia;
Tujue Mungu na Mama yake wapo daima kutusaidia
Muda wowote tuweze kutulia,
Na kushika waovu na kukemea,
Hata ikiwa dunia nzuri; inatembea
kama inalegea,
Imara maadili tukae na kusimamia,
Na maishani; kusema hapana kwa mbaya tabia.

Asante sana kwa ujumbe mzuri, uliouwasilisha kwa ustadi wa hali ya juu, Mungu azidi kukuneemesha
ReplyDeleteAhsante sana Frt. Mungu abariki Sana.
ReplyDeleteBe blessed.
Safi sana dogo
ReplyDeleteMungu akubariki.
Asante kaka mungu akubariki
ReplyDeleteAsantee kwa ujumbee mzuri!Nakuona mbali an siku zijazo
ReplyDeleteAsante sana kaka... Mungu akubariki kwa kazi yako nzuri
ReplyDeleteNawashukuru Sana Nyote kwa comments zenu! Mungu awabariki kwa matashi mema!
ReplyDeleteBeautiful
ReplyDeleteAsante sana kwa ujumbe wenye faraja na matumaini,Mungu ni mwema daima yuko pamoja nasi
ReplyDeleteAsante sana kwa ujumbe wenye faraja na matumaini,Mungu ni mwema daima yuko pamoja nasi
ReplyDelete